Matendo 5:36 BHN

36 Zamani kidogo, kulitokea mtu mmoja jina lake Theuda, akajisema kuwa mtu wa maana na watu karibu 400 wakajiunga naye. Lakini aliuawa, kisha wafuasi wake wote wakatawanyika na kikundi chake kikafa.

Kusoma sura kamili Matendo 5

Mtazamo Matendo 5:36 katika mazingira