Matendo 5:38 BHN

38 Na sasa pia mimi nawaambieni, msiwachukulie watu hawa hatua yoyote; waacheni! Kwa maana, ikiwa mpango huu au shughuli yao hii imeanzishwa na binadamu, itatoweka yenyewe.

Kusoma sura kamili Matendo 5

Mtazamo Matendo 5:38 katika mazingira