Mathayo 12:25 BHN

25 Yesu, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, “Ufalme wowote uliogawanyika makundimakundi yanayopingana, hauwezi kudumu, na mji wowote au jamaa yoyote iliyogawanyika makundimakundi yanayopingana, itaanguka.

Kusoma sura kamili Mathayo 12

Mtazamo Mathayo 12:25 katika mazingira