Mathayo 12:27 BHN

27 Nyinyi mnasema ati nawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli; je, wafuasi wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo wao ndio watakaowahukumu nyinyi.

Kusoma sura kamili Mathayo 12

Mtazamo Mathayo 12:27 katika mazingira