Mathayo 16:27 BHN

27 Maana, Mwana wa Mtu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika wake, na hapo ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake.

Kusoma sura kamili Mathayo 16

Mtazamo Mathayo 16:27 katika mazingira