Mathayo 18:25 BHN

25 Mtu huyo hakuwa na chochote cha kulipa; hivyo bwana wake aliamuru auzwe, yeye, mke wake, watoto wake na vitu vyote alivyokuwa navyo, ili deni lilipwe.

Kusoma sura kamili Mathayo 18

Mtazamo Mathayo 18:25 katika mazingira