Mathayo 24:45 BHN

45 Yesu akaendelea kusema, “Ni nani basi mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watu wake, awape chakula kwa wakati wake?

Kusoma sura kamili Mathayo 24

Mtazamo Mathayo 24:45 katika mazingira