Mathayo 25:24 BHN

24 “Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaja, akasema, ‘Bwana, najua wewe ni mtu mgumu; wewe huvuna pale ambapo hukupanda, na kukusanya pale ambapo hukutawanya.

Kusoma sura kamili Mathayo 25

Mtazamo Mathayo 25:24 katika mazingira