Mathayo 6:2 BHN

2 “Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.

Kusoma sura kamili Mathayo 6

Mtazamo Mathayo 6:2 katika mazingira