Mathayo 8:13 BHN

13 Kisha Yesu akamwambia huyo jemadari Mroma, “Nenda nyumbani; na iwe kama ulivyoamini.” Na mtumishi wake akapona saa ileile.

Kusoma sura kamili Mathayo 8

Mtazamo Mathayo 8:13 katika mazingira