Mathayo 8:32 BHN

32 Yesu akawaambia, “Haya, nendeni.” Hapo wakawatoka watu hao, wakawaingia nguruwe. Kundi lote la nguruwe likaporomoka kwenye ule mteremko mkali, likatumbukia ziwani; nguruwe wote wakafa majini.

Kusoma sura kamili Mathayo 8

Mtazamo Mathayo 8:32 katika mazingira