Mathayo 9:14 BHN

14 Kisha wanafunzi wa Yohane Mbatizaji walimwendea Yesu, wakamwuliza, “Sisi na Mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?”

Kusoma sura kamili Mathayo 9

Mtazamo Mathayo 9:14 katika mazingira