Mathayo 9:2 BHN

2 Hapo watu walimletea mtu mmoja aliyepooza mwili, amelazwa juu ya kitanda. Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Jipe moyo mwanangu! Umesamehewa dhambi zako.”

Kusoma sura kamili Mathayo 9

Mtazamo Mathayo 9:2 katika mazingira