Mathayo 9:33 BHN

33 Mara tu huyo pepo alipotolewa, mtu huyo aliyekuwa bubu akaanza kuongea tena. Watu wakashangaa na kusema, “Jambo kama hili halijapata kuonekana katika Israeli!”

Kusoma sura kamili Mathayo 9

Mtazamo Mathayo 9:33 katika mazingira