Mathayo 9:6 BHN

6 Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Inuka, chukua kitanda chako, uende nyumbani kwako.”

Kusoma sura kamili Mathayo 9

Mtazamo Mathayo 9:6 katika mazingira