Tito 1:11 BHN

11 Lazima kukomesha maneno yao, kwani wanavuruga jumuiya nzima kwa kufundisha mambo ambayo hawapaswi kufundisha; wanafanya hivyo kwa nia mbaya ya kupata faida ya fedha.

Kusoma sura kamili Tito 1

Mtazamo Tito 1:11 katika mazingira