21 Huko, Kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao.
Kusoma sura kamili Waefeso 1
Mtazamo Waefeso 1:21 katika mazingira