Waroma 10:14 BHN

14 Basi, watamwombaje yeye ambaye hawamwamini? Tena, watamwaminije kama hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri?

Kusoma sura kamili Waroma 10

Mtazamo Waroma 10:14 katika mazingira