22 Ona, basi, jinsi Mungu alivyo mwema na mkali. Yeye ni mkali kwa wale walioanguka, na ni mwema kwako wewe ikiwa utaendelea katika wema wake; la sivyo, nawe pia utakatwa.
Kusoma sura kamili Waroma 11
Mtazamo Waroma 11:22 katika mazingira