Waroma 12:20 BHN

20 Zaidi ya hayo, Maandiko yasema: “Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mpe kinywaji. Maana kwa kufanya hivyo utamfanya apate aibu kali kama makaa ya moto juu ya kichwa chake.”

Kusoma sura kamili Waroma 12

Mtazamo Waroma 12:20 katika mazingira