Waroma 14:8 BHN

8 maana tukiishi twaishi kwa ajili ya Bwana; tukifa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi, kama tukiishi au tukifa, sisi ni mali yake Bwana.

Kusoma sura kamili Waroma 14

Mtazamo Waroma 14:8 katika mazingira