Waroma 2:15 BHN

15 Mwenendo wao unaonesha kwamba matakwa ya sheria yameandikwa mioyoni mwao. Dhamiri zao zinashuhudia pia jambo hilo, maana fikira zao mara nyingine huwashtaki, na mara nyingine huwatetea.

Kusoma sura kamili Waroma 2

Mtazamo Waroma 2:15 katika mazingira