Waroma 3:7 BHN

7 Labda utasema: “Ikiwa ukosefu wa uaminifu kwa upande wangu unamdhihirisha Mungu kuwa mwaminifu zaidi na hivyo kumpatia utukufu, basi singepaswa kuhukumiwa kuwa mwenye dhambi!”

Kusoma sura kamili Waroma 3

Mtazamo Waroma 3:7 katika mazingira