Waroma 6:22 BHN

22 Lakini sasa mmekwisha kombolewa kutoka utumwa wa dhambi na mmekuwa watumishi wa Mungu; faida mliyo nayo sasa ni utakatifu, na matokeo yake ni uhai wa milele.

Kusoma sura kamili Waroma 6

Mtazamo Waroma 6:22 katika mazingira