17 Lakini hekima itokayo juu mbinguni, kwanza ni safi; inapenda amani, upole na huwajali watu; imejaa huruma na huzaa matunda ya matendo mema; haina ubaguzi wala unafiki.
Kusoma sura kamili Yakobo 3
Mtazamo Yakobo 3:17 katika mazingira