2 Samueli 10:11 BHN

11 Yoabu akamwambia Abishai, “Ikiwa Waaramu wananizidi nguvu, utanisaidia lakini kama Waamoni wanakuzidi nguvu, nitakuja kukusaidia.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 10

Mtazamo 2 Samueli 10:11 katika mazingira