2 Samueli 13:28 BHN

28 Absalomu akawaambia watumishi wake, “Mwangalieni Amnoni atakapokuwa amekunywa divai na kufurahi. Nitakapowaambia, ‘Mpigeni Amnoni,’ muueni. Hiyo ni amri yangu kwenu. Jipeni moyo na muwe hodari.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 13

Mtazamo 2 Samueli 13:28 katika mazingira