2 Samueli 13:34 BHN

34 Lakini Absalomu alikuwa amekwisha kimbia. Naye kijana aliyekuwa na zamu ya ulinzi, mara akaona kundi kubwa la watu wanakuja kutokea mlimani katika barabara ya kutoka Horonaimu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 13

Mtazamo 2 Samueli 13:34 katika mazingira