2 Samueli 14:6 BHN

6 Nilikuwa na watoto wa kiume wawili. Siku moja, walipokuwa mbugani, walianza kugombana. Kwa vile hapakuwa na mtu yeyote wa kuwaamua, mmoja akampiga mwenzake, akamuua.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 14

Mtazamo 2 Samueli 14:6 katika mazingira