2 Samueli 15:14 BHN

14 Basi, Daudi akawaambia watumishi wake waliokuwa naye mjini Yerusalemu, “Inukeni tukimbie, la sivyo, hatutaweza kumwepa Absalomu. Tufanye haraka kuondoka asije akatuletea maafa na kuuangamiza mji kwa mapanga.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 15

Mtazamo 2 Samueli 15:14 katika mazingira