15 Basi, Mwenyezi-Mungu akawaletea Waisraeli maradhi, tangu asubuhi hadi wakati uliopangwa. Watu 70,000 walikufa nchini kote kutoka Dani mpaka Beer-sheba.
Kusoma sura kamili 2 Samueli 24
Mtazamo 2 Samueli 24:15 katika mazingira