2 Samueli 24:18 BHN

18 Siku hiyohiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, “Panda juu, ukamjengee Mwenyezi-Mungu madhabahu, katika kiwanja cha kupuria nafaka cha Arauna, Myebusi.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 24

Mtazamo 2 Samueli 24:18 katika mazingira