2 Samueli 24:25 BHN

25 Kisha Daudi akamjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu mahali hapo na kumtolea sadaka za kuteketezwa na za amani. Basi, Mwenyezi-Mungu akayakubali maombi kwa ajili ya nchi, na ile tauni iliyowakumba Waisraeli ikakoma.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 24

Mtazamo 2 Samueli 24:25 katika mazingira