2 Samueli 3:13 BHN

13 Daudi akamjibu, “Vema, nitafanya agano nawe. Lakini ninakutaka jambo moja kwamba kabla hujaniona sharti kwanza uniletee Mikali binti wa Shauli. Hapo utaniona.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 3

Mtazamo 2 Samueli 3:13 katika mazingira