19 Abneri pia akazungumza na Wabenyamini, kisha akaenda mpaka Hebroni kumwambia Daudi kuhusu yale ambayo watu wote wa Israeli na kabila lote la Benyamini walipatana kutenda.
Kusoma sura kamili 2 Samueli 3
Mtazamo 2 Samueli 3:19 katika mazingira