2 Samueli 4:5 BHN

5 Rekabu na Baana wana wa Rimoni Mbeerothi, wakaenda nyumbani kwa Ishboshethi. Walifika huko adhuhuri, Ishboshethi alipokuwa anapumzika nyumbani kwake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 4

Mtazamo 2 Samueli 4:5 katika mazingira