2 Samueli 8:1 BHN

1 Baada ya hayo, Daudi aliwapiga, akawashinda Wafilisti. Akauteka mji wa Metheg-ama kutoka utawala wa Wafilisti.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 8

Mtazamo 2 Samueli 8:1 katika mazingira