11 Kisha, Siba akamwambia mfalme, “Mimi mtumishi wako, nitafanya yote kulingana na amri yako.” Basi, Mefiboshethi akawa anapata chakula chake mezani pa Daudi, kama mmojawapo wa watoto wa mfalme.
Kusoma sura kamili 2 Samueli 9
Mtazamo 2 Samueli 9:11 katika mazingira