Danieli 1:17 BHN

17 Mungu aliwajalia vijana hao wanne maarifa na ujuzi katika elimu na hekima. Zaidi ya hayo, alimjalia Danieli kipawa cha kufasiri maono na ndoto.

Kusoma sura kamili Danieli 1

Mtazamo Danieli 1:17 katika mazingira