Danieli 1:5 BHN

5 Mfalme aliagiza vijana hao wapewe chakula bora ambacho yeye mwenyewe alikula na divai ambayo alikunywa. Vijana hao walitakiwa wapewe mafunzo kwa miaka mitatu, kisha wapelekwe kwa mfalme.

Kusoma sura kamili Danieli 1

Mtazamo Danieli 1:5 katika mazingira