Danieli 11:45 BHN

45 Zaidi ya hayo, atapiga mahema yake makubwa kati ya bahari na mlima mtukufu na mtakatifu. Lakini atakuwa amefikia kikomo chake, na hatakuwapo yeyote wa kumsaidia.

Kusoma sura kamili Danieli 11

Mtazamo Danieli 11:45 katika mazingira