30 Lakini mimi sikufumbuliwa fumbo hili kwa sababu nina hekima kuliko wanaadamu wengine, bali ili wewe mfalme, upate kujulishwa maana ya ndoto yako na kujua mawazo yako.
Kusoma sura kamili Danieli 2
Mtazamo Danieli 2:30 katika mazingira