Danieli 2:34 BHN

34 Ukiwa bado unaangalia, jiwe lilingoka lenyewe, bila kuguswa, na kuipondaponda miguu ya shaba na udongo wa mfinyanzi ya ile sanamu, na kuivunja vipandevipande.

Kusoma sura kamili Danieli 2

Mtazamo Danieli 2:34 katika mazingira