Danieli 2:42 BHN

42 Kama ulivyoona, vidole vyake vya miguu vilikuwa nusu chuma na nusu udongo wa mfinyanzi, na hii inamaanisha kwamba ufalme huo utakuwa na nguvu kiasi fulani na udhaifu kiasi fulani.

Kusoma sura kamili Danieli 2

Mtazamo Danieli 2:42 katika mazingira