Danieli 4:14 BHN

14 Akapaaza sauti akisema, ‘Kateni mti huu na kuyakatakata matawi yake. Pukuteni majani yake na kuyatawanya matunda yake. Wanyama na watoroke chini yake na ndege kutoka matawi yake.

Kusoma sura kamili Danieli 4

Mtazamo Danieli 4:14 katika mazingira