27 Kwa sababu hiyo, ee mfalme, sikiliza shauri langu. Achana na dhambi zako na maovu yako, utende haki na kuwaonea huruma waliodhulumiwa; huenda muda wako wa fanaka ukarefushwa!”
Kusoma sura kamili Danieli 4
Mtazamo Danieli 4:27 katika mazingira