Danieli 5:17 BHN

17 Danieli akamjibu mfalme Belshaza, “Waweza kukaa na zawadi zako ee mfalme au kumpa mtu mwingine. Hata hivyo, ee mfalme, nitakusomea maandishi hayo na kukueleza maana yake.

Kusoma sura kamili Danieli 5

Mtazamo Danieli 5:17 katika mazingira