20 Alipofika karibu akamwita Danieli kwa sauti ya huzuni, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai! Je, Mungu wako unayemtumikia daima ameweza kukuokoa na simba hawa?”
Kusoma sura kamili Danieli 6
Mtazamo Danieli 6:20 katika mazingira