Danieli 6:20 BHN

20 Alipofika karibu akamwita Danieli kwa sauti ya huzuni, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai! Je, Mungu wako unayemtumikia daima ameweza kukuokoa na simba hawa?”

Kusoma sura kamili Danieli 6

Mtazamo Danieli 6:20 katika mazingira