Danieli 6:5 BHN

5 Ndipo wakapatana hivi: “Hatutapata kisingizio chochote cha kumshtaki Danieli isipokuwa kama kisingizio hicho kitakuwa kinahusu sheria ya Mungu wake.”

Kusoma sura kamili Danieli 6

Mtazamo Danieli 6:5 katika mazingira