Danieli 7:14 BHN

14 Akapewa mamlaka, utukufu na ufalme, ili watu wa makabila yote, mataifa yote na lugha zote wamtumikie. Utawala wake ni wa milele na ufalme wake kamwe hautaangamizwa.

Kusoma sura kamili Danieli 7

Mtazamo Danieli 7:14 katika mazingira